Search

70 results for Shaba Njia :

  1. PRIME Mfahamu Judith Suminwa, mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu DRC

    Judith Suminwa anatarajiwa kutangaza Baraza jipya la mawaziri siku chache zijazo na ataongoza Serikali ambayo pia inaundwa na mawaziri na manaibu waziri.

  2. DRC, Tanzania zazindua kituo kupima madini bandarini

    Kituo hicho kidogo cha biashara za madini, kipo chini ya ofisi ya Mamlaka ya Tathmini na Uthibitishaji wa Utaalamu (CEEC)

  3. PRIME Maajabu ya tende, faida zake kufungulia Swaum

    Tende imepata umaarufu mkubwa duniani kwa sababu ni tunda ambalo limekuwa likitumika sana katika kipindi cha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kama chakula cha kwanza wakati wa kufuturu.

  4. PRIME Buriani Eddie Luwasha, mafyatu watakukumbuka kwa mengi

    “Kifo, kifo, kifo hakina huruma”, alijiimbia fyatu Remi Ongaka asijue bila kuwepo kifo haki isingetendeka. Juzi mafyatu walipopokea msiba wa Eddie Luwasha aka Richmonduli yero ambaye hakutumia...

  5. Sh2.5 trilioni kuifufua reli ya Tazara

    Katikati ya wiki hii, Xiaohui aliwasilisha pendekezo la mradi wa matengenezo ya reli hiyo kwa Waziri wa Usafirishaji wa Zambia, Frank Tayali.

  6. Fahamu historia ya urembo vikuku

    Vikuku vinaweza kuwa vya shanga, ngozi au hata madini kama dhahabu, fedha na shaba zenye muundo kama wa bangili ambazo huvaliwa miguuni na jinsi ya kike. Kikuu kinaweza kuvaliwa mguu mmoja...

  7. Fahamu madini 27 ya kimkakati na mahitaji yake soko la dunia

    Je unajua hazina ya madini Tanzania na mahitaji yake katika soko la dunia?

  8. Malori ya Tanzania zaidi ya 250 yashikiliwa DR Congo

    Malori 250 ya mizigo kutoka Tanzania yanayobeba madini ya shaba kutoka Congo, yanashikiliwa nchini humo kwa kile kinachodaiwa baadhi ya kampuni za migodi zinadaiwa kodi.

  9. Rais Samia anatakiwa awe ‘rais mwanasayansi si mwanasiasa'

    Alinichekesha Baba Askofu, Benson Bagonza, aliposema katika umri wake amegundua watu wazuri huchukiwa kwa uzuri wao. Alikuwa akieleza hisia zake kuhusu Uchaguzi Mkuu KKKT 2023.

  10. Mwisho wa hadaa; Kwa nini COP27 iwe kweli COP ya Afrika?

    Mkutano wa 27 wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi unaojulikana zaidi kama Mkutano wa Nchi Wanachama (COP 27) utafanyika kuanzia tarehe 6 hadi 18 Novemba 2022 mjini Sharm El Sheikh, Misri.

Page 1 of 7

Next